Kituo cha habari cha Idlib na shirika la Syria
la kufatilia haki za binaadamu, wamesema helikopta hiyo ilianguka jana karibu
na mji wa Jabal al-Zawiya kwenye jimbo la Idlib.
Mkurugenzi
wa shirika hilo, Rami Abdurahman, amesema waasi hao, likiwemo kundi la al Nusra
Front, linalofungamana na mtandao wa kigaidi wa Al-Qaeda, wanawashikilia mateka
wafanyakazi wanne wa helikopta hiyo.
Imeripotiwa
kuwa askari mmoja alinusurika katika ajali hiyo, lakini aliuawa na waasi hao na
askari mwingine wa sita hajulikani aliko.
0 comments:
Post a Comment